|
Maporomoko yaua 20 Tanzania
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Watu 20 wamefariki nchini Tanzania kutokana na maporomoko ya ardhi yaliyotokana na mvua zinazonyesha.
Tukio hilo limetokea katika mkoa wa kaskazini wa Kilimanjaro, wenye milima mingi. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Monica Mbega ameiambia BBC kuwa watoto saba ni kati ya watu waliofariki katika tukio hilo. Bi Mbega amesema miili18 imepatikana katika eneo la tukio huko miili miwili imekutwa ikielea mtoni. Hii ni mara ya kwanza kwa maporomoko ya aina hii kutokea katika eneo hilo. |
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||