BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 11 Novemba, 2009 - Imetolewa 11:38 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Mfanyakazi wa kifaransa atekwa Chad
 
Mfanyakazi wa kifaransa wa shirika la kimataifa la msalaba mwekundu, ICRC ametekwa na watu wenye silaha mashariki mwa Chad.

Shirika hilo la ICRC limesema linasimamisha shughuli zake kwa muda katika eneo hilo.

Limesema mfanyakazi wake, Laurent Maurice, alitekwa mapema Jumatatu katika kijiji cha Kawa, takriban kilomita 20 kutoka mpaka wa Sudan.

Shirika hilo limesema halijui watekaji nyara hao ni akina nani na wana nia ipi.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha