BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 10 Novemba, 2009 - Imetolewa 12:50 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Charles Taylor ajitetea kortini
 
Rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor, ametoa ushahidi katika Mahakama ya The Hague kuwa alidanganywa na Nigeria kabla ya kutiwa mbaroni na kisha kushtakiwa katika mahakama hiyo ya ICC.

Taylor anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu wa kiivita katika Mahakama Maalumu ya Sierra Leone kwa kuwaaunga mkono waasi waliowafanyia raia wa Sierra Leone ukatili mkubwa kunako miaka ya 90.

Taylor alikuwa uhamishoni nchini Nigeria mwaka 2006 alipotiwa mbaroni. Alidai kuwa kiongozi wa wakati huo wa Nigeria, Olesugun Obasanjo, alimwambia alikuwa huru kuondoka, lakini kisha akapanga atiwe mbaroni kwa kujaribu kutoroka.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha