BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 09 Novemba, 2009 - Imetolewa 18:53 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Mwenyeketi katika kashfa ya ubaguzi
 
Mwenyekiti wa shirika la umeme nchini Afrika Kusini, Eskom, amejiuzulu baada ya kushutumiwa kwa madai ya ubaguzi wa rangi.

Mwenyekiti huyo Bobby Godsell, ambaye ni mzungu na Jacob Maroga, mwafrika mweusi, walikuwa katika mvutano wa madaraka kwa muda mrefu.

Wiki iliyopita Bw. Maroga alijiuzulu, na kusababisha tawi la vijana la chama cha ANC kudai kwamba alisukumwa kando kutokana na rangi yake.

Eskom imekuwa ikigonga vichwa vya habari tangu mwaka jana wakati ukosefu wa umeme ulipoikumba nchi hiyo.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha