BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 08 Novemba, 2009 - Imetolewa 17:36 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Twiga waongezeka Niger
 
Wahifadhi wanyama wa pori nchini Niger wameelezea kuongezeka kwa idadi ya twiga nchini humo, licha ya wasiwasi miaka kumi iliyopita kwamba wangeliweza kutoweka kabisa.

Wanaelezea kwamba huku idadi yao ikiongezeka, wamekuwa wakihamia hadi makazi mapya.

Juhudi katika kuwahifadhi wanyama hao, hasa kutokana na kuungwa mkono na serikali, zimesaidia katika kuongeza idadi ya twiga kutoka 50 hadi karibu 200.

Wengi wanapatikana karibu na mji mkuu wa Niamey.

Hawa ni aina fulani ya twiga, na ambao awali walipatikana kuanzia Chad adi pwani ya bahari ya Atlantic nchini Senegal.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha