BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 06 Novemba, 2009 - Imetolewa 12:47 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Mamluki wa Afrika kusini hawatakamatwa
 
Mamluki wanne wa Afrika kusini waliofungwa jela kwa kuhusika na njama ya kupindua serikali ya Equatorial Guinea, hawatakamatwa tena watakaporejea nchini mwao.

Njama hiyo hata hivyo ilitibuka. Kwa mujibu wa naibu waziri wa mambo ya nje wa Afrika kusini, Ibrahim Ibrahim, watu hao tayari wameadhibiwa vya kutosha kwa kosa lao.

Watu hao pamoja na mamluki mwigine muingereza, Simon Mann walisamehewa na kiongozi wa Equatorial Guinea wiki jana.

Vitendo vya Mamluki vimepigwa marufuku nchini Afrika kusini lakini mtu hawezi kuhudumia kifungo gerezani mara mbili kwa kosa moja.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha