BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 05 Novemba, 2009 - Imetolewa 06:26 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Wakimbizi wakimbilia Congo-Brazzaville
 
Shirika linaloshughulikia wakimbizi la Umoja wa Mataifa limesema maelfu ya wakimbizi wamevuka mpaka wa Congo-Brazzaville.

Wakimbizi hao wanakimbia ghasia zilizopo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Taarifa zinasema polisi 47 wameuawa kufuatia mapigano ya kikabila yalipozuka kwenye jimbo la Equateur huko Jamhuri ya Kongo wiki iliyopita.

Wakimbizi wamewaambiwa waandishi kwamba vijiji kadhaa viliunguzwa na watu wengi kuuawa.

Serikali ya Congo-Brazzaville imeiomba Umoja wa Mataifa na mashirika mengine kutoa misaada kwa wakimbizi hao.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha