BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 04 Novemba, 2009 - Imetolewa 02:47 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Sierra Leone yaunganisha tiba na India
 
Rais wa Sierra Leone amezindua kiunganishi kwa njia ya satelaiti ambapo madaktari wa nchi yake wanaweza kupata ushauri kwa wenzao nchini India.

Mfumo huo, utawaruhusu madaktari Sierra Leone kutuma picha za X-ray na taarifa nyingine kwa ajili ya kufanyiwa tathmini katika hospitali za India zenye vifaa bora zaidi.

Wataweza pia kupata ushauri kutoka India.

Mfumo wa afya Sierra Leone uliathirika sana wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya miaka 11 vilivyomalizika mwaka 2002.

Madakatari wengi waliikimbia nchi yao wakati wa macahafuko hayo.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha