BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 04 Novemba, 2009 - Imetolewa 02:10 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
Benki za Nigeria zawekewa sheria kali
 
Benki kuu ya Nigeria imeiamuru sekta ya benki nchini humo kuripoti utoaji na uingizaji fedha zenye kutia shaka kwa watu wanaohusika na siasa.

Hatua hiyo ni sehemu ya marekebisho yanayofanywa na gavana wa benki kuu Lamido Sanusi katika hatua za kusitisha ufisadi.

Bw Sanusi amewafukuza kazi wakuu wa benki tano na kuwashitaki kwa makosa ya udanganyifu wakurugenzi wa benki kadhaa.

Taratibu kama hizo ni kawaida katika maeneo mengine duniani tangu mashambulio ya kigaidi yalipotokea nchini Marekani tarehe 11 Septemba 2001.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha