bbc.co.uk navigation

Victor Wanyama azungumza na BBC

Imebadilishwa: 17 Februari, 2012 - Saa 18:58 GMT

Media Player

Aridhika kuichezea Celtic

Tazamamp4

Unahitaji toleo sahihi la Flash Player kucheza sauti/video

Cheza katika media player

Victor Mugubi Wanyama, ni miongoni mwa wachezaji wachache kutoka Afrika mashariki wanaosakata kabumbu ya kulipwa katika mataifa ya Ulaya.

Wanyama, mwenye umri wa miaka 21, na alianzia safari yake huko Ubelgiji na sasa ni mchezaji wa kiungo cha kati wa kutegemewa na timu ya ligi kuu ya Uskochi ya Celtic.

Ameichezea Celtic sasa kwa muda wa miezi sita.

Katika mazungmzo na mwandishi wa BBC, Wanyama wa Chebusiri aliyemtembelea mchezaji huyo nyumbani kwake katika mji wa Glasgow, Victor Wanyama anaeleza hana nia ya kuhamia England kwa hivi sasa.

BBC © 2012 Ilani: BBC haihusiki na yaliyoandikwa na tovuti za nje ya BBC.

Ukurasa huu unaonekana vyema kwa kivinjari cha kisasa kikiwa na laha mtindo (CSS).Wakati unaweza kuona yaliyomo katika ukurasa huu kwa kivinjari ulichonacho, hautaweza kufaidi kuona kila kitu vizuri. Tafadhali zingatia uwezekano wa kuboresha progaramu ya kivinjari au kuwezesha laha mtindo (CSS) endapo unaweza kufanya hivyo.