bbc.co.uk navigation

Wanyama akutana na Wanyama

Imebadilishwa: 16 Februari, 2012 - Saa 18:52 GMT

Media Player

Mchezaji wa Celtic azungumza na Wanyama Chebusiri wa BBC

Sikilizamp3

Unahitaji toleo sahihi la Flash Player kucheza sauti/video

Cheza katika media player

Victor Mugubi Wanyama, ni miongoni mwa wachezaji wachache kutoka Afrika Mashariki wanaosakata kabumbu ya kulipwa katika mataifa ya Ulaya.

Wanyama, mwenye umri wa miaka ishirini na moja, alianzia safari yake huko Ubelgiji, na sasa ni mchezaji wa kiungo cha kati wa kutegemewa na timu ya ligi kuu ya Uskochi ya Celtic.

Katika mazungmzo na mwandishi wa BBC, Wanyama wa Chebusiri, aliyemtembelea mchezaji huyo nyumbani kwake katika mji mkuu wa Uskochi, Glasgow, Wanyama anasimulia juu ya maisha yake.

Zaidi utayasikia katika matangazo yetu ya Michezo na Wachezaji siku ya Jumapili, kuanzia saa tatu usiku za Afrika Mashariki.

BBC © 2012 Ilani: BBC haihusiki na yaliyoandikwa na tovuti za nje ya BBC.

Ukurasa huu unaonekana vyema kwa kivinjari cha kisasa kikiwa na laha mtindo (CSS).Wakati unaweza kuona yaliyomo katika ukurasa huu kwa kivinjari ulichonacho, hautaweza kufaidi kuona kila kitu vizuri. Tafadhali zingatia uwezekano wa kuboresha progaramu ya kivinjari au kuwezesha laha mtindo (CSS) endapo unaweza kufanya hivyo.