Watu nchini Iran wanadai kubaniwa huduma za internet.
Unahitaji toleo sahihi la Flash Player kucheza sauti/video
Katika Teknolojia wiki hii, watu nchini Iran wanadai kuwa wamebaniwa mno huduma za internet kwani hawajaweza kupokea barua pepe au hata kutumia mitandao ya kijamii katika siku chache zilizopita.
BBC © 2012 Ilani: BBC haihusiki na yaliyoandikwa na tovuti za nje ya BBC.
Ukurasa huu unaonekana vyema kwa kivinjari cha kisasa kikiwa na laha mtindo (CSS).Wakati unaweza kuona yaliyomo katika ukurasa huu kwa kivinjari ulichonacho, hautaweza kufaidi kuona kila kitu vizuri. Tafadhali zingatia uwezekano wa kuboresha progaramu ya kivinjari au kuwezesha laha mtindo (CSS) endapo unaweza kufanya hivyo.