 |
 |
 |
 |
 |
 |
 |
|
|
|
| Mara ya mwisho imebadilishwa: 09 Februari, 2010 - Imetolewa 08:55 GMT
|
|
Daktari wa Michael Jackon amekanusha madai ya kusababisha kifo cha mwanamuziki huyo bila kukusudia kwa kumpa dawa ya kulala
kupita kiasi.
|
|
ANGALIA/SIKILIZA
VIPINDI VINAVYOSIKIKA
|
Shirikisho la mchezo wa soka nchini Benin, limevunja timu ya taifa ya nchi hiyo kufuatia matokeo mabaya katika michuano ya
kombe la mataifa bingwa barani Afrika.
|
|
Aliyekuwa rais wa Marekani Jimmy Carter amewasili nchini Sudan kwa mashauriano na rais wa nchi hiyo, Omar al-Bashir na maafisa
wengine wakuu serikalini.
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|