BBCSwahili.com
Maziwa Makuu
Kisomali
Arabik
Kifaransa kwa Afrika
Turqisht
 
Mara ya mwisho imebadilishwa: 11 Julai, 2009 - Imetolewa 16:50 GMT
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
BBC Ulimwengu wa Soka
 

 
 
Sepp Blatter na Issa Hayatou
Je ni mfano mzuri? Sepp Blatter ameongoza shirikisho la dunia, FIFA miaka 11, na Issa Hayatou, rais wa shirikisho la soka Afrika, CAF, ameongoza kwa miaka 21

Idhaa ya Kiswahili ya BBC ikishirikiana na redio washirika, siku ya Jumamosi, tarehe 18 mwezi Julai 2009, tutajadili ni kwa nini viongozi wa mashirikisho ya soka barani Afrika hawataki kuachia uongozi mara tu wanapoingia madarakani.

Je, unadhani ni kwa nini viongozi hawa huwa hawataki kuondoka?

Baadhi ya wapenzi wa pesa wanadhani ni fedha na mamlaka.

Lakini je, hizi ni sababu za kutosha kwa kiongozi wa shirikisho kuendelea kuwa madarakani mwaka nenda mwaka rudi?

Je, wewe binafsi una maoni gani kuhusu suala hili?

Unaweza kutoa maoni yako kwenye BBC Ulimwengu wa Soka kwa kutuandikia ujumbe mfupi wa maandishi, yaani text message au sms, ukitumia nambari hii: + 44 7786 202 005.

 
 
HABARI MPYA
 
 
Mtumie rafiki barua pepe   Chapisha
 
  Idhaa Yetu | Wasiliana Nasi
 
BBC Copyright Logo ^^ Rejea Juu
 
  Habari | Hali Ya Hewa
 
  BBC News >> | BBC Sport >> | BBC Weather >> | BBC World Service >> | BBC Languages >>
 
  Msaada | Wasiliana nasi | Maelezo ya Faragha