Askari wa Marekani wakojolea maiti

Imebadilishwa: 12 Januari, 2012 - Saa 17:02 GMT

Media Player

Za wapiganaji wa kitaliban nchini Afghanistan

Tazamamp4

Unahitaji toleo sahihi la Flash Player kucheza sauti/video

Cheza katika media player

Jeshi la Marekani linachunguza video inayoonyesha watu wanne waliovaa sare za jeshi la majini wakiwakojolea kwa kile kinachoonekana kuwa ni maiti za wapiganaji wa kitaliban nchini Afghanistan. Msemaji wa wizara ya ulinzi ya Marekani, Pentagon ameelezea video hiyo kuwa yenye kukera na tabia isiyokubalika.

bbc.co.uk navigation

BBC © 2012 Ilani: BBC haihusiki na yaliyoandikwa na tovuti za nje ya BBC.

Ukurasa huu unaonekana vyema kwa kivinjari cha kisasa kikiwa na laha mtindo (CSS).Wakati unaweza kuona yaliyomo katika ukurasa huu kwa kivinjari ulichonacho, hautaweza kufaidi kuona kila kitu vizuri. Tafadhali zingatia uwezekano wa kuboresha progaramu ya kivinjari au kuwezesha laha mtindo (CSS) endapo unaweza kufanya hivyo.