Tanzania imethibitisha kuwa zaidi ya watu 20 wamefariki dunia kufuatia mvua iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo.
Mvua hizo zimeathiri maeneo mengi ya mji wa Dar es salaam. Wengi bado hawajulikani walipo.
Mvua hizi inasemekana ndio kubwa kuwahi kunyesha katika kipindi cha miaka 57.
Picha hizi zimepigwa na Jamiiforums
BBC © 2012 Ilani: BBC haihusiki na yaliyoandikwa na tovuti za nje ya BBC.
Ukurasa huu unaonekana vyema kwa kivinjari cha kisasa kikiwa na laha mtindo (CSS).Wakati unaweza kuona yaliyomo katika ukurasa huu kwa kivinjari ulichonacho, hautaweza kufaidi kuona kila kitu vizuri. Tafadhali zingatia uwezekano wa kuboresha progaramu ya kivinjari au kuwezesha laha mtindo (CSS) endapo unaweza kufanya hivyo.