|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Umoja wa Afrika umesema unasitisha ushirikiano na mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita, kuhusiana na uamuzi wa mahakama
hiyo wa kumshtaki Rais wa Sudan Omar Al- Bashir.
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Kenya , na mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita- ICC wamekubaliana kuweka muda mpya wa kubuni mahakama maalum ya kuwashtaki
watu wanaoshukiwa kuchochea ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.
|
Msichana mwenye umri wa miaka 12 ambaye alinusurika kifo katika ajali ya ndege ya Yemenia kwenye bahari ya Hindi amezungumza
kwa mara ya kwanza
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Vivutio
Kundi la kwaya ya vijana kutoka Kenya, lilipotembelea studio za Idhaa ya Kiswahili ya BBC London.
Michezo
Jumamosi 11 Julai tutajadili ikiwa ni vyema kuwe na kiwango kisichozidi katika kumnunua mchezaji soka.
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||