bbc.co.uk navigation

Wanajeshi wa Muungano wa Afrika nchini Somalia wameuteka mji mihumu karibu na jiji kuu Mogadishu baada ya wapiganaji wa Kiisilamu kuondoka eneo hilo.Mji wa Afgoye umekua ngome kuu ya kundi la Al-Shabaab.

Afrika Kusini, Australia na New Zealand zimeafikiana kujenga darubini kubwa zaidi duniani.

Mohammed Mursi anatarajiwa kuchuana na Waziri Mkuu wa zamani Ahmed Shafiq katika raundi ya pili

MICHUANO YA OLIMPIKI LONDON 2012

  • Jiji la London litakuwa mwenyeji wa michuano ya mwaka 2012 ya Olimpiki. Je London imejiandaa vipi na michuano hiyo? fuatilia maandalizi na matayarisho ya viwanja na wachezaji

Michezo

Teknolojia

Kisa na Mkasa

Sikiliza -Tazama

Makala

  • Uwekezaji wa China barani Afrika, umeendelea kukuwa kwa kas Nini athari za hatua ya China barani humo? BBC idhaa ya kiswahili inajadili swala hilo Ijumaa hii.

  • Msanii mwafrika kutoka DRC abaguliwa Ulaya kwa kuwakilisha Ukrain katika shindano la Eurovision

  • Milolongo mirefu imeshuhudiwa katika vituo vya upigaji kura nchini misri huku maelfu wakijitokeza katika uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia.

  • Maonyesho ya picha za wanawake wanene Afrika yafanyika Ivory Coast. Wachoraji wanasema umbo la unene lafaa kujivuniwa

  • Chini ya mwaka mmoja baada ya kifo cha Muamar Gaddafi, Wananchi wa Libya wameanza kuvunja sheria alizokuwa ameweka.

BBC © 2012 Ilani: BBC haihusiki na yaliyoandikwa na tovuti za nje ya BBC.

Ukurasa huu unaonekana vyema kwa kivinjari cha kisasa kikiwa na laha mtindo (CSS).Wakati unaweza kuona yaliyomo katika ukurasa huu kwa kivinjari ulichonacho, hautaweza kufaidi kuona kila kitu vizuri. Tafadhali zingatia uwezekano wa kuboresha progaramu ya kivinjari au kuwezesha laha mtindo (CSS) endapo unaweza kufanya hivyo.